5 Kwa maana wao pamoja na mifugo yao walikuwa wakija na mahema yao. Walikuja wakiwa wengi kama nzige,+ na wao pamoja na ngamia zao hawakuwa na hesabu;+ nao walikuwa wakiingia katika nchi ili kuiharibu.+
12 Sasa Midiani na Amaleki na watu wote wa Mashariki+ walikuwa wamejazana katika ile nchi tambarare ya chini, wengi sana kama nzige;+ na ngamia+ zao hawakuwa na hesabu, walikuwa wengi sana kama chembe za mchanga ulio kando ya bahari.
17 Walinzi wako ni kama nzige, na maofisa wako wa uandikishaji ni kama kundi la nzige. Wanapiga kambi katika mazizi ya mawe siku yenye baridi. Lazima jua liangaze, nao huruka mbali; na mahali pao hapajulikani.+