Yeremia 50:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “Israeli ni kondoo wa kundi aliyetawanywa.+ Simba wenyewe ndio wamemtawanya.+ Mara ya kwanza mfalme wa Ashuru amemla,+ na mara hii ya mwisho Nebukadreza mfalme wa Babiloni ameitafuna mifupa yake.+ Yeremia 51:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nami nitamlipa Babiloni na wakaaji wote wa Ukaldayo ubaya wao wote ambao wametenda katika Sayuni mbele ya macho yenu,”+ asema Yehova.
17 “Israeli ni kondoo wa kundi aliyetawanywa.+ Simba wenyewe ndio wamemtawanya.+ Mara ya kwanza mfalme wa Ashuru amemla,+ na mara hii ya mwisho Nebukadreza mfalme wa Babiloni ameitafuna mifupa yake.+
24 Nami nitamlipa Babiloni na wakaaji wote wa Ukaldayo ubaya wao wote ambao wametenda katika Sayuni mbele ya macho yenu,”+ asema Yehova.