12 Nami nitawaandikia ninyi upanga,+ nanyi nyote mtainama ili kuuawa;+ kwa sababu niliita,+ lakini hamkuitika; nilisema, lakini hamkusikiliza;+ nanyi mliendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pangu,+ mlichagua jambo ambalo halikunipendeza.”+
4 Mimi nami nitachagua njia za kuwatendea vibaya;+ nami nitaleta juu yao mambo yanayowatia hofu;+ kwa sababu niliita, lakini hakuna aliyejibu; nilisema, lakini hakuna aliyesikiliza;+ nao waliendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pangu, walichagua jambo ambalo sikupendezwa nalo.”+