Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 65:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nitawaandikia ninyi upanga,+ nanyi nyote mtainama ili kuuawa;+ kwa sababu niliita,+ lakini hamkuitika; nilisema, lakini hamkusikiliza;+ nanyi mliendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pangu,+ mlichagua jambo ambalo halikunipendeza.”+

  • Isaya 66:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mimi nami nitachagua njia za kuwatendea vibaya;+ nami nitaleta juu yao mambo yanayowatia hofu;+ kwa sababu niliita, lakini hakuna aliyejibu; nilisema, lakini hakuna aliyesikiliza;+ nao waliendelea kutenda yaliyokuwa mabaya machoni pangu, walichagua jambo ambalo sikupendezwa nalo.”+

  • Zekaria 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “ ‘Basi ikawa kwamba, kama vile alivyoita wala hawakusikiliza,+ vivyo hivyo wao waliita na mimi sikusikiliza,’+ Yehova wa majeshi amesema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki