8 “Kama ingekuwa hivyo nuru yako ingetokea kama mapambazuko;+ na kupona kungetokea haraka kwa ajili yako.+ Na uadilifu wako hakika ungetembea mbele yako;+ utukufu wa Yehova ungekuwa ulinzi wako wa nyuma.+
17 “Kwa maana nitakurudishia afya, nami nitakuponya mapigo yako,”+ asema Yehova. “Kwa maana walikuita mwanamke aliyefukuzwa:+ ‘Huyo ni Sayuni, ambaye hakuna yeyote anayemtafuta.’”+