21 Kwa hiyo Yehova amesema hivi: “Tazama, ninawawekea watu hawa vikwazo,+ nao hakika watajikwaa juu yake, akina baba na wana pamoja; jirani na mwenzake—wataangamia.”+
10 “ ‘ “Kwa hiyo akina baba wenyewe watakula wana katikati yako,+ na wana wenyewe watakula baba zao, nami nitatenda ndani yako matendo ya hukumu na kutawanya mabaki yako yote kuelekea kila upepo.” ’+