Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 6:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa hiyo Yehova amesema hivi: “Tazama, ninawawekea watu hawa vikwazo,+ nao hakika watajikwaa juu yake, akina baba na wana pamoja; jirani na mwenzake—wataangamia.”+

  • Ezekieli 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “ ‘ “Kwa hiyo akina baba wenyewe watakula wana katikati yako,+ na wana wenyewe watakula baba zao, nami nitatenda ndani yako matendo ya hukumu na kutawanya mabaki yako yote kuelekea kila upepo.” ’+

  • Mathayo 10:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Zaidi ya hayo, mtu atamtoa ndugu+ yake afe, na baba mtoto wake, na watoto watainuka juu ya wazazi na kufanya wauawe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki