7 kwa ajili ya makosa yao wenyewe na kwa ajili ya makosa ya mababu zao wakati uleule,”+ Yehova amesema. “Kwa sababu wamefukiza moshi wa dhabihu juu ya milima, nao wamenishutumu+ juu ya vilima,+ mimi pia nitapima kwanza kabisa malipo yao vifuani mwao.”+