Kumbukumbu la Torati 27:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “‘Amelaaniwa yule ambaye humtendea baba yake au mama yake kwa dharau.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’) Methali 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mtu yeyote anayemlaani baba yake na mama yake,+ taa yake itazimwa giza linapokaribia.+
16 “‘Amelaaniwa yule ambaye humtendea baba yake au mama yake kwa dharau.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)