Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 32:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Nao wakawa wakiweka machukizo yao katika nyumba ambayo jina langu limeitwa juu yake, ili kuitia unajisi.+

  • Ezekieli 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “ ‘Kwa hiyo kama ninavyoishi,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova, ‘kwa hakika kwa sababu ni patakatifu pangu ulipopatia unajisi kwa machukizo+ yako yote na kwa vinyaa+ vyako vyote, mimi mwenyewe pia Ndiye nitakayekupunguza+ wewe nalo jicho langu halitakusikitikia+ na mimi mwenyewe sitakuhurumia.+

  • Ezekieli 8:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Naye akaniambia: “Mwana wa binadamu, tafadhali inua macho yako kuelekea upande wa kaskazini.” Kwa hiyo nikayainua macho yangu kuelekea upande wa kaskazini, na, tazama! kaskazini mwa lango la madhabahu kulikuwa na mfano huu wa wivu+ katika njia ya kuingilia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki