Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 26:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Nami nitaweka amani katika nchi,+ nanyi mtalala, pasipo yeyote wa kuwatetemesha;+ nami nitamkomesha katika nchi+ mnyama-mwitu mwenye madhara, nao upanga hautapita katika nchi yenu.+

  • Isaya 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na mbwa-mwitu kwa kweli atakaa pamoja na mwana-kondoo+ kwa muda fulani, na chui atalala pamoja na mwana-mbuzi, na ndama na mwana-simba mwenye manyoya shingoni+ na mnyama aliyelishwa vizuri wote pamoja;+ na mvulana mdogo atakuwa kiongozi juu yao.

  • Isaya 35:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hakuna simba atakayekuwa hapo, na wanyama-mwitu wenye kunyafua hawatakuja juu yake.+ Hakuna yeyote atakayepatikana hapo;+ na waliokombolewa watatembea hapo.+

  • Isaya 65:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Mbwa-mwitu+ na mwana-kondoo watalisha kama kitu kimoja,+ na simba atakula majani kama ng’ombe;+ na kuhusu nyoka, chakula chake kitakuwa mavumbi.+ Hawatadhuru+ wala kufanya uharibifu wowote katika mlima wangu wote mtakatifu,”+ Yehova amesema.

  • Hosea 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na kwa ajili yao hakika nitafanya agano siku hiyo na mnyama wa mwituni+ na kiumbe kinachoruka cha mbinguni na kitu kinachotambaa cha nchi, nami nitavunja kutoka katika nchi upinde na upanga na vita,+ nami nitawafanya walale salama salimini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki