Ayubu 37:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ninyi sikilizeni kwa makini, mngurumo wa sauti yake,+Na mvumo unaotoka kinywani mwake. Zaburi 29:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sauti ya Yehova iko juu ya maji;+Mungu mtukufu+ mwenyewe amenguruma.+Yehova yuko juu ya maji mengi.+ Zaburi 68:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Kwa Yule anayepanda mbingu ya mbingu za kale.+Lo! Anavumisha sauti yake, sauti yenye nguvu.+
3 Sauti ya Yehova iko juu ya maji;+Mungu mtukufu+ mwenyewe amenguruma.+Yehova yuko juu ya maji mengi.+