Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Lakini sasa ikiwa utasamehe dhambi yao,+—na ikiwa sivyo, nifute,+ tafadhali, kutoka katika kitabu+ chako ambacho umeandika.”

  • Nehemia 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini Mungu wangu akaweka wazo moyoni+ mwangu kwamba nikusanye watu wenye vyeo na watawala-wasaidizi na watu ili wajiandikishe kiukoo.+ Ndipo nikakipata kitabu cha uandikishaji wa kiukoo+ cha wale waliokuja pale mwanzoni, na ndani nikakuta imeandikwa:

  • Zaburi 69:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na wafutwe kutoka katika kitabu cha walio hai,+

      Wala wasiandikwe pamoja na waadilifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki