5 Lakini Mungu wangu akaweka wazo moyoni+ mwangu kwamba nikusanye watu wenye vyeo na watawala-wasaidizi na watu ili wajiandikishe kiukoo.+ Ndipo nikakipata kitabu cha uandikishaji wa kiukoo+ cha wale waliokuja pale mwanzoni, na ndani nikakuta imeandikwa: