12 kwa kuwa roho isiyo ya kawaida na ujuzi na ufahamu wa kutafsiri ndoto+ na kueleza vitendawili na kufungua mafundo ilikuwa imepatikana ndani yake,+ ndani ya Danieli, ambaye mfalme alimpa jina Belteshaza.+ Basi Danieli na aitwe, apate kuonyesha tafsiri kamili.”