Mwanzo 36:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wana wa Elifazi walikuwa Temani,+ Omari, Sefo, Gatamu, na Kenasi.+ Ezekieli 25:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Pia nitaunyoosha mkono wangu juu ya Edomu+ na kukatilia mbali kutoka kwake mwanadamu na mnyama wa kufugwa,+ nami nitapafanya kuwa ukiwa kutoka Temani,+ mpaka Dedani.+ Wataanguka kwa upanga. Amosi 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami nitapeleka moto katika Temani,+ nao utaiteketeza minara ya makao ya Bosra.’+
13 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Pia nitaunyoosha mkono wangu juu ya Edomu+ na kukatilia mbali kutoka kwake mwanadamu na mnyama wa kufugwa,+ nami nitapafanya kuwa ukiwa kutoka Temani,+ mpaka Dedani.+ Wataanguka kwa upanga.