Methali 8:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Yehova mwenyewe alinitokeza nikiwa mwanzo wa njia yake,+ nikiwa wa mapema zaidi kati ya kazi zake za zamani za kale.+ Yohana 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Hapo mwanzo+ Neno+ alikuwako, na Neno alikuwa pamoja na Mungu,+ na Neno alikuwa mungu.+ Yohana 8:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Yesu akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Kabla ya Abrahamu kuwako, mimi nimekuwako.”+ Wakolosai 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Pia, yeye ni wa kabla ya vitu vingine vyote+ na kwa njia yake vitu vingine vyote vilifanywa kuwapo,+ Ufunuo 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Na kwa malaika wa kutaniko katika Laodikia+ andika: Haya ndiyo mambo anayosema Amina,+ shahidi+ mwaminifu+ na wa kweli,+ mwanzo wa uumbaji wa Mungu,+
22 “Yehova mwenyewe alinitokeza nikiwa mwanzo wa njia yake,+ nikiwa wa mapema zaidi kati ya kazi zake za zamani za kale.+
17 Pia, yeye ni wa kabla ya vitu vingine vyote+ na kwa njia yake vitu vingine vyote vilifanywa kuwapo,+
14 “Na kwa malaika wa kutaniko katika Laodikia+ andika: Haya ndiyo mambo anayosema Amina,+ shahidi+ mwaminifu+ na wa kweli,+ mwanzo wa uumbaji wa Mungu,+