14 na kuutia kwa nguvu ndani ya beseni au chungu cha kupikia chenye mikono miwili au sufuria au chungu cha kupikia chenye mkono mmoja. Chochote ambacho uma huo ulichukua kutoka ndani, kuhani alijichukulia. Hivyo ndivyo walivyofanya katika Shilo kwa Waisraeli wote waliokuja huko.+