Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 25:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Naye Yakobo akampa Esau mkate na mchuzi wa dengu, naye akala na kunywa.+ Kisha akaondoka akaenda zake. Kwa hiyo Esau aliidharau haki ya kuzaliwa.+

  • Mwanzo 27:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Hata hivyo, Esau akaweka uadui kumwelekea Yakobo kwa sababu ya baraka ambayo baba yake alikuwa amembarikia,+ na Esau akaendelea kusema moyoni mwake:+ “Siku za kipindi cha kuomboleza baba yangu zinakaribia.+ Baada ya hizo nitamuua Yakobo ndugu yangu.”+

  • Waebrania 12:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 kwamba kusiwe na mwasherati wala yeyote asiyethamini mambo matakatifu, kama Esau,+ ambaye alitoa haki zake za kuwa mzaliwa wa kwanza kwa kubadilishana na mlo mmoja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki