Zaburi 34:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Malaika wa Yehova anapiga kambi pande zote kuwazunguka wanaomwogopa,+Na yeye huwaokoa.+ Waebrania 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Je, wao wote si roho+ kwa ajili ya utumishi wa watu wote,+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi+ wokovu?
14 Je, wao wote si roho+ kwa ajili ya utumishi wa watu wote,+ waliotumwa kuhudumu kwa ajili ya wale watakaorithi+ wokovu?