Mambo ya Walawi 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova. Mathayo 19:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mheshimu baba yako na mama yako,+ na, Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.”+ Mathayo 22:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Ya pili, kama hiyo, ni hii, ‘Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.’+ Luka 10:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ni nani kati ya watu hao watatu anayeonekana kwako kuwa alijifanya kuwa jirani+ kwa mtu aliyeanguka katikati ya wanyang’anyi?”
18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.
36 Ni nani kati ya watu hao watatu anayeonekana kwako kuwa alijifanya kuwa jirani+ kwa mtu aliyeanguka katikati ya wanyang’anyi?”