17 Kwa maana hakuna jambo lililofichwa+ ambalo halitafunuliwa, wala kitu chochote kilichofunikwa kwa uangalifu ambacho hakitajulikana kamwe na ambacho hakitakuwa wazi kamwe.+
24 Dhambi za watu wengine huwa wazi+ mbele ya watu wote, zikiongoza moja kwa moja kwenye hukumu, lakini kwa habari ya watu wengine pia dhambi zao huwa wazi baadaye.+