Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Anayetembea kwa utimilifu atatembea salama,+ lakini anayepotoa njia zake atajifanya mwenyewe ajulikane.+

  • Mathayo 10:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa hiyo msiwaogope; kwa maana hakuna kitu chochote kilichofunikwa ambacho hakitafunuliwa, na cha siri ambacho hakitajulikana.+

  • Luka 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana hakuna jambo lililofichwa+ ambalo halitafunuliwa, wala kitu chochote kilichofunikwa kwa uangalifu ambacho hakitajulikana kamwe na ambacho hakitakuwa wazi kamwe.+

  • 1 Timotheo 5:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Dhambi za watu wengine huwa wazi+ mbele ya watu wote, zikiongoza moja kwa moja kwenye hukumu, lakini kwa habari ya watu wengine pia dhambi zao huwa wazi baadaye.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki