Matendo 19:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Paulo akasema: “Yohana alibatiza kwa ubatizo unaoonyesha toba,+ akiwaambia watu wamwamini yule ambaye angekuja baada yake,+ yaani, Yesu.” 1 Petro 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana imeandikwa katika Andiko: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe, lililochaguliwa, jiwe la pembeni la msingi, lenye thamani; na mtu yeyote anayeonyesha imani katika hilo hatakata tamaa hata kidogo.”+
4 Paulo akasema: “Yohana alibatiza kwa ubatizo unaoonyesha toba,+ akiwaambia watu wamwamini yule ambaye angekuja baada yake,+ yaani, Yesu.”
6 Kwa maana imeandikwa katika Andiko: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe, lililochaguliwa, jiwe la pembeni la msingi, lenye thamani; na mtu yeyote anayeonyesha imani katika hilo hatakata tamaa hata kidogo.”+