Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 12:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitakuwa na tumaini wala sitakuwa na hofu;+ kwa maana Yah Yehova ni nguvu+ zangu na uwezo+ wangu, naye alikuwa wokovu wangu.”+

  • Isaya 40:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Yeye anampa nguvu mtu aliyechoka;+ naye huzijaza nguvu kamili kwa mtu asiye na nguvu zenye msukumo.+

  • Yohana 15:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mimi ndiye mzabibu, ninyi ndio matawi. Yule ambaye hukaa katika muungano pamoja nami, na mimi katika muungano pamoja naye, huyo huzaa matunda mengi;+ kwa sababu bila mimi hamwezi kufanya lolote kamwe.

  • 2 Wakorintho 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hata hivyo, sisi tuna hazina+ hii katika vyombo+ vya udongo,+ ili nguvu+ zinazopita zile za kawaida ziwe za Mungu+ na si zile za kutoka ndani yetu wenyewe.+

  • 2 Wakorintho 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 na bado kwa kweli akaniambia: “Fadhili zangu zisizostahiliwa zinakutosha+ wewe; kwa maana nguvu zangu zinakamilishwa katika udhaifu.”+ Kwa furaha zaidi, basi, ni afadhali nijisifu kwa habari ya udhaifu wangu,+ ili nguvu za Kristo zibaki juu yangu kama hema.

  • 2 Timotheo 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 lakini Bwana alisimama karibu nami+ na kutia nguvu ndani yangu,+ ili kupitia mimi kazi ya kuhubiri itimizwe kwa ukamili na mataifa yote yaisikie;+ nami nilikombolewa kutoka katika kinywa cha simba.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki