3Basi nyoka+ alikuwa mwenye kujihadhari+ kuliko wanyama wote wa mwituni ambao Yehova Mungu alikuwa amewafanya.+ Kwa hiyo akaanza kumwambia mwanamke:+ “Je, ni kweli kwamba Mungu alisema msile matunda ya kila mti wa bustani?”+
3 Lakini naogopa kwamba kwa njia fulani, kama nyoka alivyomshawishi Hawa+ kwa ujanja wake, huenda akili zenu zikaharibiwa+ kutoka kwenye unyoofu wa moyo na usafi wa kiadili ambao unamfaa Kristo.+
14 Lakini yule mwanamke akapewa mabawa mawili ya tai mkubwa,+ ili aruke kwenda nyikani+ mahali pake; hapo ndipo anapolishwa+ kwa wakati na nyakati na nusu ya wakati+ mbali na uso wa yule nyoka.+