Yeremia 25:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli ameniambia hivi: “Chukua kikombe hiki cha divai ya ghadhabu kutoka mkononi mwangu, nawe ukinyweshe+ mataifa yote ambayo ninakutuma kwao. Ufunuo 15:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na mmoja wa wale viumbe hai wanne+ akawapa wale malaika saba mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa hasira ya Mungu,+ anayeishi milele na milele.+
15 Kwa maana Yehova Mungu wa Israeli ameniambia hivi: “Chukua kikombe hiki cha divai ya ghadhabu kutoka mkononi mwangu, nawe ukinyweshe+ mataifa yote ambayo ninakutuma kwao.
7 Na mmoja wa wale viumbe hai wanne+ akawapa wale malaika saba mabakuli saba ya dhahabu yaliyojaa hasira ya Mungu,+ anayeishi milele na milele.+