1 Wafalme 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ahishari alikuwa msimamizi wa nyumba; na Adoniramu+ mwana wa Abda aliwasimamia wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa.+ 1 Wafalme 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mfalme Sulemani aliwaandikisha wanaume kutoka katika Israeli yote ili wafanye kazi ya kulazimishwa; wanaume 30,000 waliandikishwa.+
6 Ahishari alikuwa msimamizi wa nyumba; na Adoniramu+ mwana wa Abda aliwasimamia wale walioandikishwa kufanya kazi ya kulazimishwa.+
13 Mfalme Sulemani aliwaandikisha wanaume kutoka katika Israeli yote ili wafanye kazi ya kulazimishwa; wanaume 30,000 waliandikishwa.+