Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 16:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kisha Asa akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake;+ alikufa katika mwaka wa 41 wa utawala wake. 14 Kwa hiyo walimzika katika kaburi lake la kifahari alilokuwa amejichimbia katika Jiji la Daudi;+ walimlaza kwenye machela ya kubebea maiti iliyojazwa mafuta ya zeri na mafuta* yaliyotengenezwa kwa njia ya pekee kwa mchanganyiko wa vikolezo mbalimbali.+ Isitoshe, waliwasha moto mkubwa isivyo kawaida kwa ajili yake.*

  • Yeremia 34:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hata hivyo, sikia neno la Yehova, ewe Mfalme Sedekia wa Yuda, ‘Yehova anasema hivi kukuhusu wewe: “Hutakufa kwa upanga. 5 Utakufa kwa amani,+ nao watakufanyia sherehe ya kufukiza manukato kama walivyowafanyia baba zako, wafalme wa zamani waliokutangulia, nao watakuombolezea wakisema, ‘Ole, ewe bwana!’ kwa maana ‘nimelisema neno hilo,’ asema Yehova.”’”’”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki