6 Sasa watu fulani hawakuwa safi kwa sababu waligusa mtu aliyekufa,+ hivyo hawangeweza kuitayarisha dhabihu ya Pasaka siku hiyo. Kwa hiyo wakaenda kumwona Musa na Haruni siku hiyo,+
10 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Mtu yeyote miongoni mwenu au miongoni mwa vizazi vyenu vijavyo akijichafua kwa kumgusa mtu aliyekufa+ au akisafiri mbali, bado anapaswa kumtayarishia Yehova dhabihu ya Pasaka.