-
Ezekieli 25:15, 16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu ya chuki yao isiyo na mwisho, Wafilisti wamejaribu kwa nia ovu* kulipiza kisasi na kuleta maangamizi.+ 16 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Ninaunyoosha mkono wangu dhidi ya Wafilisti,+ nami nitawakatilia mbali Wakerethi+ na kuwaangamiza wakaaji wanaobaki wa pwani ya bahari.+
-
-
Amosi 1:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Yehova anasema hivi:
-