Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 25:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+

  • Yeremia 25:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 na watu wa mataifa mbalimbali waliochangamana nao; wafalme wote wa nchi ya Usi; wafalme wote wa nchi ya Wafilisti,+ Ashkeloni,+ Gaza, Ekroni, na watu waliobaki wa Ashdodi;

  • Ezekieli 25:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kwa sababu ya chuki yao isiyo na mwisho, Wafilisti wamejaribu kwa nia ovu* kulipiza kisasi na kuleta maangamizi.+ 16 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Ninaunyoosha mkono wangu dhidi ya Wafilisti,+ nami nitawakatilia mbali Wakerethi+ na kuwaangamiza wakaaji wanaobaki wa pwani ya bahari.+

  • Amosi 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Yehova anasema hivi:

      ‘“Kwa sababu ya maasi matatu ya Gaza,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,

      Kwa sababu walichukua kundi lote la mateka+ na kuwatia mikononi mwa Edomu.

  • Sefania 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa maana Gaza litakuwa jiji lililoachwa mahame;

      Na Ashkeloni litafanywa ukiwa.+

      Waashdodi watafukuzwa kweupe kabisa wakati wa mchana,*

      Na Ekroni litang’olewa.+

  • Zekaria 9:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Jiji la Ashkeloni litaona jambo hilo na kuogopa;

      Gaza litahisi maumivu makali sana,

      Ekroni pia, kwa sababu tumaini lake limeaibishwa.

      Mfalme wa Gaza ataangamizwa,

      Na Ashkeloni halitakaliwa na watu.+

       6 Mwanaharamu ataishi Ashdodi,

      Nami nitakikomesha kiburi cha Mfilisti.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki