Danieli 11:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “Kuhusu wafalme hawa wawili, moyo wao utakuwa na mwelekeo wa kufanya maovu, nao wataketi kwenye meza moja wakiambiana uwongo. Lakini hakuna lolote litakalofanikiwa, kwa maana mwisho utakuja kwa wakati uliowekwa.+
27 “Kuhusu wafalme hawa wawili, moyo wao utakuwa na mwelekeo wa kufanya maovu, nao wataketi kwenye meza moja wakiambiana uwongo. Lakini hakuna lolote litakalofanikiwa, kwa maana mwisho utakuja kwa wakati uliowekwa.+