Waamuzi 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Akatuma mjumbe amwite Baraka+ mwana wa Abinoamu kutoka Kedesh-naftali,+ akamwambia, “Yehova Mungu wa Israeli anakuamuru hivi: ‘Nenda* katika Mlima Tabori ukiwa na wanaume 10,000 kutoka kabila la Naftali na la Zabuloni. Yeremia 46:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 ‘Kwa hakika kama ninavyoishi,’ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,‘Ataingia* kama Tabori+ kati ya milimaNa kama Karmeli+ kando ya bahari.
6 Akatuma mjumbe amwite Baraka+ mwana wa Abinoamu kutoka Kedesh-naftali,+ akamwambia, “Yehova Mungu wa Israeli anakuamuru hivi: ‘Nenda* katika Mlima Tabori ukiwa na wanaume 10,000 kutoka kabila la Naftali na la Zabuloni.
18 ‘Kwa hakika kama ninavyoishi,’ asema Mfalme, ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi,‘Ataingia* kama Tabori+ kati ya milimaNa kama Karmeli+ kando ya bahari.