62 Ndipo Yesu akasema: “Mimi ndiye; nanyi mtamwona Mwana wa binadamu+ akiwa ameketi kwenye mkono wa kuume+ wa nguvu, akija pamoja na mawingu ya mbinguni.”+
7 Tazama! Anakuja na mawingu,+ na kila jicho litamwona, na wale waliomchoma;* na makabila yote ya dunia yatajipigapiga kwa huzuni kwa sababu yake.+ Ndiyo, Amina.