Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w75 8/1 uku. 347
  • Baraka Isiyotazamiwa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Baraka Isiyotazamiwa
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1975
  • Habari Zinazolingana
  • Programu ya Kusanyiko la Pekee la Mwaka wa 2010
    Huduma ya Ufalme—2009
  • Programu Mpya ya Siku ya Kusanyiko la Pekee
    Huduma Yetu ya Ufalme—1995
  • Mpango Mpya wa Kupitia Programu za Makusanyiko
    Huduma Yetu ya Ufalme—2004
  • “Kuwa Unapopaswa Kuwa”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1977
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1975
w75 8/1 uku. 347

Baraka Isiyotazamiwa

✔ Katika nchi moja ya Afrika, jeuri ilitokea kwa ghafula siku ambayo kusanyiko la wilaya la mashahidi wa Yehova lilipomalizika. Aliporudi nyumbani, Shahidi mpya, ambaye hapo kwanza alikuwa wa chama cha kisiasa kilichoanza machafuko hayo, alikuta askari na baraza ya mahali pake wakimngojea. Ulizo lilikuwa, Yeye alikuwa amekuwa akifanya nini wakati wa uasi? Akawaambia kwamba alikuwa amehudhuria kusanyiko la mashahidi wa Yehova. Lakini isitoshe. Walitaka uhakikisho. Askari wakiwa wanafuatana naye, Shahidi huyo akaruhusiwa atoe programu yake ya kusanyiko. Programu yote iliposomwa, jumbe (chifu) akamtangaza Shahidi kuwa asiye na hatia na hata akamtia moyo aendelee na utendaji wake wa kuhubiri. Watu wa kijiji wakashangazwa na jambo hili, wakisema hivi; “Mungu unayeomba ndiye Mungu aliye hai!” Lo! Shahidi huyu alikuwa mwenye shukrani kadiri gani kwa kuwa alikuwa amehudhuria kusanyiko!

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki