17 Siku moja alipokuwa akifundisha, Mafarisayo na walimu wa sheria kutoka kila kijiji cha Galilaya na Yudea na kutoka Yerusalemu walikuwa wameketi hapo; na Yehova* alikuwa amempa nguvu za kuponya.+
17 Siku moja alikuwa akifundisha, na Mafarisayo na walimu wa sheria waliokuwa wamekuja kutoka kila kijiji cha Galilaya na Yudea na Yerusalemu walikuwa wameketi hapo; nazo nguvu za Yehova zilikuwa hapo ili aponye.+