12 Mfalme alibomoa pia madhabahu ambazo wafalme wa Yuda walijenga kwenye paa+ la chumba cha juu cha Ahazi, na pia madhabahu ambazo Manase alijenga katika nyua mbili za nyumba ya Yehova.+ Alizivunjavunja na kutawanya mavumbi yake katika Bonde la Kidroni.