5 “Nimeingia katika bustani yangu,+
Ewe dada yangu, bibi harusi wangu.
Nimekusanya manemane yangu na viungo vyangu.+
Nimekula sega langu na asali yangu;
Nimekunywa divai yangu na maziwa yangu.”+
“Kuleni, rafiki zangu wapendwa!
Kunyweni, mlewe maonyesho ya upendo!”+