3 Watu huuliza: “Mtu akimfukuza mke wake naye aondoke na kuchukuliwa na mwanamume mwingine, je, mtu huyo anapaswa kumrudia tena?”
Je, nchi hiyo haijachafuliwa kabisa?+
“Umefanya ukahaba na marafiki wengi,+
Na je, sasa unapaswa kurudi kwangu?” asema Yehova.