Amosi 9:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 ‘Yule anayejenga ngazi zake mbinguniNa kujenga jengo* lake juu ya dunia;Yule anayeyaita maji ya bahari,Ili ayamwage duniani+—Yehova ndilo jina lake.’+ Amosi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 9:6 w09 1/1 16-17 Amosi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:6 Mnara wa Mlinzi,1/1/2009, kur. 16-17
6 ‘Yule anayejenga ngazi zake mbinguniNa kujenga jengo* lake juu ya dunia;Yule anayeyaita maji ya bahari,Ili ayamwage duniani+—Yehova ndilo jina lake.’+