1 Samweli 18:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Ndipo watumishi wa Sauli wakaanza kusema maneno hayo masikioni mwa Daudi, lakini Daudi akasema: “Je, ni jambo rahisi machoni penu kufanya mapatano ya ndoa na mfalme, na huku mimi ni mtu maskini,+ mwenye heshima ndogo?”+
23 Ndipo watumishi wa Sauli wakaanza kusema maneno hayo masikioni mwa Daudi, lakini Daudi akasema: “Je, ni jambo rahisi machoni penu kufanya mapatano ya ndoa na mfalme, na huku mimi ni mtu maskini,+ mwenye heshima ndogo?”+