1 Samweli 18:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Basi watumishi wake wakampelekea Daudi habari hiyo, naye Daudi akapendezwa na jambo hilo, la kufanya mapatano ya ndoa+ na mfalme, na siku hazikuwa bado zimekwisha.
26 Basi watumishi wake wakampelekea Daudi habari hiyo, naye Daudi akapendezwa na jambo hilo, la kufanya mapatano ya ndoa+ na mfalme, na siku hazikuwa bado zimekwisha.