Zekaria 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Tangazo: “Neno la Yehova kuhusu Israeli,” asema Yehova, Yeye anayetandaza mbingu+ na kuweka msingi wa dunia+ na kufanyiza roho+ ya mwanadamu ndani yake.
12 Tangazo: “Neno la Yehova kuhusu Israeli,” asema Yehova, Yeye anayetandaza mbingu+ na kuweka msingi wa dunia+ na kufanyiza roho+ ya mwanadamu ndani yake.