Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ule Umati Mkubwa Kuishi Mbinguni? Au Duniani?
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • Yesu alikuwa amefundisha wafuasi wake kusali hivi: “Mapenzi yako na yatendeke, kama ilivyo katika mbingu, pia juu ya dunia.” Pia alikuwa amesema hivi: “Wenye furaha ni wenye tabia-pole, kwa kuwa wao watairithi dunia.”—Mt. 5:5; 6:10, NW.

      Kupatana na jambo hilo, chatia moja iliyotangazwa ikiwa nyongeza ya Watch Tower la Julai-Agosti 1881 ilionyesha kwamba kungekuwa wengi kutoka miongoni mwa wanadamu ambao wangepata upendeleo wa Mungu wakati wa Utawala wa Mileani wa Kristo na kwamba wangekuwa ndio “ulimwengu wa wanadamu walioinuliwa kwenye ukamilifu wa kibinadamu na uhai.” Chati hiyo ilitumiwa kwa miaka mingi ikiwa msingi wa hotuba kwa vikundi vikubwa na vidogo pia.

  • Ule Umati Mkubwa Kuishi Mbinguni? Au Duniani?
    Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu
    • a Hiyo “Chati ya Enzi” ilitokezwa tena katika kitabu The Divine Plan of the Ages.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki