Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Maagano Yanayohusisha Kusudi la Milele la Mungu
    Mnara wa Mlinzi—1989 | Februari 1
    • 8 Abrahamu alipokuwa katika Uru, Yehova alimwambia ahamie bara jingine, nalo likawa ni Kanaani. Wakati huo Yehova alimwahidi hivi Abrahamu: “Mimi nitafanyiza taifa kubwa kutoka kwa wewe na nitakubariki wewe na nitafanya jina lako kuwa kuu; . . . na jamaa zote za nchi kwa uhakika zitajibarikia zenyewe kupitia wewe.”a (Mwanzo 12:1-3, NW) Baada ya hapo, pole kwa pole Mungu aliongeza mambo mengine mengi kwenye lile ambalo kwa kufaa tunalinena kuwa agano la Kiabrahamu: mbegu ya Abrahamu, au mrithi, ingerithi lile Bara Lililoahidiwa; mbegu yake ingeongoza kwenye wazao wasiohesabika; Abrahamu na Sara wangekuwa ndicho chanzo cha wafalme.​—Mwanzo 13:14-17; 15:4-6; 17:1-8, 16, NW; Zaburi 105:8-10.

  • Maagano Yanayohusisha Kusudi la Milele la Mungu
    Mnara wa Mlinzi—1989 | Februari 1
    • a Hili ni agano lenye kuhusisha upande mmoja tu, kwa kuwa ni mtu mmoja tu (Mungu) aliyejikabidhi wajibu wa kutekeleza masharti yalo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki