Mafasirio ya chini
c Pale arianzaka kusali, Hana aritumikishaka misemo ya kufanana na ile iko mu bitabu bile Musa arianjikaka. Ile inaonesha asema arianzaka kuwaza sana nju mandiko. (Kum. 4:35; 8:18; 32:4, 39; 1 Sa. 2:2, 6, 7) Kisha miaka ya mingi Maria mama yake ya Yesu naye aritumikisha misemo ya kufanana na ile Hana arisemaka nju ya kumusifu Jeova.—Lu. 1:46-55.