Mafasirio ya chini
a Nju ya kuyuwa mambo mingi nju ya namna Yesu aribeba fashi ya pretre mukubwa wa wakati ya Bayaudi ba nzamani, soma abari “Furahia Pendeleo Yako ya Kumutumikia Yehova mu Hekalu Yake ya Kiroho” mu Munara ya Mulinzi ya Octobre 2023, paje 26, paragrafe 7-9.