BIBLIOTEKE YA KU ENTERNETE Watchtower
Watchtower
BIBLIOTEKE YA KU ENTERNETE
Swahili (Katanga)
  • BIBLE
  • BITABU
  • MA RENION
  • w25 Décembre p. 32
  • Ukuwe sire asema Jeova eko na nguvu ya kukuokoa

Akuna video nju ya iyi selection.

Pardon, kurikuwa erreur mu chargement ya video.

  • Ukuwe sire asema Jeova eko na nguvu ya kukuokoa
  • Munara ya Mulinzi Inatangaza Ufalme ya Jeova (ya kufunda)—2025
Munara ya Mulinzi Inatangaza Ufalme ya Jeova (ya kufunda)—2025
w25 Décembre p. 32

MAMBO ILE UNEZI KUFUNDA

Ukuwe sire asema Jeova eko na nguvu ya kukuokoa

Soma Hesabu 13:25–14:4 nju uone vile batoto ba Israel barikosaka kumutumainia Jeova.

Tafuta kuyuwa vile mambo irikuwaka. Ni nini iripashwaka kusaidia batoto ba Israel saa barianzaka kutoka mu Égypte batumainie ya kusema Jeova eko na nguvu ya kubaokoa? (Zb. 78:12-16, 43-53) Sasa ni nini irifanyaka bashiendelee kumutumainia Jeova? (Kum. 1:26-28) Josué na Caleb barioneshaka je asema barimutumainia Jeova?​—Hes. 14:6-9.

Ingia sasa ndani. Batoto ba Israel baripashwaka kufanya nini nju bamutumainie sana Jeova? (Zb. 9:10; 22:4; 78:11) Nju tufikie kumutumainia Jeova, nju ya nini tunapashwa mbele kumweshimia?​—Hes. 14:11.

Unafunda nini? Uriulize ivi:

  • ‘Ni mambo kani ile inezi kufanya nishimutumainie Jeova sana?’

  • ‘Minezi kufanya nini nju nimutumainie sana Jeova leo na mu mashiku ile iko nakuya?’

  • ‘Saa mateso ya nguvu sana itanza, minapashwa kuwa sire na nini?’​—Luka 21:25-28.

    Swahili (Katanga) Publications (2020-2026)
    Toka
    Ingia
    • Swahili (Katanga)
    • Partajé
    • Preferanse
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni ya kutumikisha
    • Règles de confidentialité
    • Paramètres de confidentialité
    • JW.ORG
    • Ingia
    Partajé