Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:6
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Yehova, Yehova, Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ hakasirike haraka+ na ni mwenye upendo mwingi mushikamanifu*+ na kweli,*+

  • Hesabu 14:18
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 18 ‘Yehova, hakasirike haraka na ni mwenye upendo mwingi mushikamanifu,*+ mwenye kusamehe kosa na uovu, lakini hatakosa hata kidogo kupatia azabu wenye kosa, mwenye kuleta azabu juu ya wana kwa sababu ya kosa la baba zao, juu ya kizazi cha tatu (3) na juu ya kizazi cha ine (4).’+

  • Nehemia 9:31
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
    • 31 Na kwa sababu ya rehema yako kubwa haukuwaharibu+ wala kuwaacha, kwa maana wewe ni Mungu mwenye huruma* na mwenye rehema.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine