Hesabu 14:22 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 22 Hata hivyo, hakuna mutu hata mumoja kati ya watu hao wenye wameona utukufu wangu na alama+ zenye nilifanya katika inchi ya Misri na katika jangwa na wenye bado wameendelea kunijaribu+ mara hizi kumi (10) na hawasikilize sauti yangu+ Kumbukumbu la Torati 6:16 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 16 “Hamupaswe kumujaribu Yehova Mungu wenu+ kama vile mulimujaribu kule Masa.+ Zaburi 95:8, 9 Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya 8 Musifanye moyo wenu kuwa mugumu kama vile mulifanya kule Meriba,*+Kama katika siku ya Masa* katika jangwa,+ 9 Wakati mababu zenu walinijaribu;+Wakanipima, hata kama walikuwa wameona kazi zangu.+
22 Hata hivyo, hakuna mutu hata mumoja kati ya watu hao wenye wameona utukufu wangu na alama+ zenye nilifanya katika inchi ya Misri na katika jangwa na wenye bado wameendelea kunijaribu+ mara hizi kumi (10) na hawasikilize sauti yangu+
8 Musifanye moyo wenu kuwa mugumu kama vile mulifanya kule Meriba,*+Kama katika siku ya Masa* katika jangwa,+ 9 Wakati mababu zenu walinijaribu;+Wakanipima, hata kama walikuwa wameona kazi zangu.+