Habari Za Kitheokrasi
Kinshasa: Shule ya Mazoezi ya Kihuduma inaendesha darasa lake lipya muda wa mwezi huu. Darasa lingine linakusudiwa kutayarishwa baadaye mwakani.
Burundi, Congo na Zaïre: Katika nchi hizo mbili za nyuma, tulipiga rekodi ya vilele vipya katika hesabu ya wahubiri, ama 3,703 (ongozeko la asilimia 11%) mnamo Septemba kuhusu Congo, na wahubiri 104,134, jambo linalomaanisha ongezeko la asilimia 16 mnamo Oktoba kuhusu Zaïre. Ingawa vita na matokeo yake, akina ndugu na dada wa Burundi hawaachi kutumika kwa uhodari.