Utangulizi
Unawaza Namna Gani?
Maneno haya yatatimia siku moja?
“Mungu . . . atafuta kila chozi kutoka katika macho yao, na kifo hakitakuwapo tena.”—Ufunuo 21:3, 4.
Gazeti hili Munara wa Mulinzi linaonyesha namna Mungu atatimiza ahadi hiyo na pia faida unaweza kupata.