Utangulizi
UNAWAZA NAMNA GANI?
Maneno haya yenye kujulikana sana yanaweza kabisa kukuletea faida?
‘Mungu aliupenda ulimwengu sana hivi kwamba akamutoa Mwana wake muzaliwa-pekee.’—Yohana 3:16.
Gazeti hili Munara wa Mulinzi linafasiria namna mateso na kifo cha Yesu vinaweza kukuletea faida.