Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • wp16 na. 5 uku. 16
  • Biblia Inasema Nini?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Biblia Inasema Nini?
  • Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2016
  • Vichwa Vidogo
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ufalme wa Mungu ni nini?
  • Ufalme wa Mungu utakuja wakati gani?
  • Ufalme Wa Mungu
    Amuka!—2013
  • Ufalme wa Mungu Ni Nini?
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2020
  • Kuko Guvernema Yenye Inaweza Kutawala Dunia Muzuri?​—Biblia Inasema Nini?
    Habari Zingine
  • Kweli Kuhusu Ufalme wa Mungu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2020
Ona Habari Zaidi
Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Watu Wote)—2016
wp16 na. 5 uku. 16

Biblia Inasema Nini?

Ufalme wa Mungu ni nini?

WATU FULANI WANAAMINI kama unamaanisha utawala wa Mungu wenye kuwa ndani ya moyo wa mutu; wengine wanawaza kama ni matokeo ya nguvu za wanadamu za kuleta amani na umoja katika dunia. Wewe unawaza namna gani?

MAMBO BIBLIA INASEMA

“Mungu wa mbinguni atausimamisha ufalme ambao hautaharibiwa kamwe. . . . Utazivunja na kuzikomesha falme hizi zote [za wanadamu].” (Danieli 2:44) Ufalme wa Mungu ni serikali ya kweli kabisa.

BIBLIA INATUFUNDISHA TENA NINI?

  • Ufalme wa Mungu unatawala kutoka mbinguni. —Mathayo 10:7; Luka 10:9.

  • Mungu anatumia Ufalme wake ili kutimiza mapenzi yake mbinguni na duniani.—Mathayo 6:10.

Ufalme wa Mungu utakuja wakati gani?

UNAWEZA KUJIBU NINI?

  • Hakuna mutu mwenye anajua

  • Hivi karibuni

  • Hautakuja hata siku moja

MAMBO BIBLIA INASEMA

“Hii habari njema ya Ufalme itahubiriwa katika dunia yote inayokaliwa ili kuwa ushahidi kwa mataifa yote; na ndipo ule mwisho utakapokuja.” (Mathayo 24:14) Kisha habari njema kuhubiriwa kabisa, Ufalme wa Mungu utakuja kuharibu ulimwengu huu muovu.

BIBLIA INATUFUNDISHA TENA NINI?

  • Hakuna mutu duniani mwenye anajua kabisa wakati Ufalme wa Mungu utakuja.—Mathayo 24:36.

  • Unabii wa Biblia unaonyesha kwamba Ufalme utakuja hivi karibuni.—Mathayo 24:3, 7, 12.

Ili kupata habari zingine, soma sura ya 8 ya kitabu Biblia Inafundisha Kabisa Nini?, chenye kilichapishwa na Mashahidi wa Yehova

Kinapatikana pia kwenye adresi yetu ya Internete www.jw.org

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine